Makapuku Forum

1977 - Massimo Ambrosini anazaliwa.

Kiungo wa zamani wa Ac Milan na timu ya taifa ya Italy.

Alikuwa ni sehemu ya kikosi cha dhahabu cha Ac Milan kilichotikisa Ulaya kando ya Pirlo, Gattuso, Kaka na wengineo.

Baada ya kustaafu kwa Paolo Maldni, Ambrosini aliteuliwa kuwa nahodha mpya wa kikosi hiko.

Ametwaa klabu bingwa ulaya mara mbili akiwa na Ac Milan.
 
Hbd kwake Nguli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…