Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Rambirambi napokeaaMsalmie mwambie tunampenda na tumemmic mno
Rambirambi napokeaaMsalmie mwambie tunampenda na tumemmic mno
Asante kwa nyongeza MkuuHii derby ina history ndefu make toka enzi zile za vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo (uingeleza )
Ikumbukwe sunderland kipindi cha hiyo civil war alijoin parliamentary rebellion wakati hao wapinzani wao wakiwa upande wa pili
Sio hilo tu King Charles 1 alivyohusika sana akiwa upande wa newcasstle ...
Ata baada ya vita kuisha mambo yaliendelea ndivyo sivyo mpaka kwenye soka waleoo
Kinachonifurahisha kwenye battle zao wana statistucs sawa ....
Asante dikteta
Sirro anaonekana loyal kwa Sizonje.Hapa Sizonje kazingua
Kicheo
Akitoka IGP ni DIGP zen CP (Sirro)
Jamaa ni km kumteua Major General wa JW kuwa Jenerali ni kama kuwadharau Maluteni Jenerali wote
.
.
Madhara yake ni kuibuka kwa mgawanyiko majeshini
Subiri tutaona
.........
Well said.Moja ya derby ambayo siku hizi inapoteza mvuto kiukweliii sijui labda kwa sababu siku hizi mambo ya mpira pesa inasumbua ila yote sawa kipindi kile ilikuwa tamu aiiseeeh ukifatiliaa
Kipindi cha 1894 ambao huu mwaka hawa sunderland walioshuka daraja na moyes wao![]()
ndo walinyakuwa makwapa kwa kubeba ndoo huku derby ya kwanza liverpool anakula bao 3 nunge ....daaaaah bwanaabwaaanaa ukifatiliaa japo ilikuwa black and white na mijeziii mikubwa watu walikuwa wanajituma
Licha ya kuwa Neville ndo anarekodii nzuri ya kicheza derby hii mara nyingi ila huwez kuwaacha hawa watu...
![]()
Hizo pipooo zilikuwa hatariii..apa tunamzungumzia tom wyllie,John Heydn,kevin shedy peter Beardsley na wengineo kibao
Pamoja sana KomrediPia kiujumla Liverpool kubeba mataji 41
Wakati Man Utd kafikisha 42
.
.
.
.Shukrani mdau
Jumapili imekuwa murua kabisa
.......
Shukrani Mkuu ,nikipata muda kama hivi Wikiend nitakuwa natupia vitu ili tukumbushane na kuwekana sawa.Daaaaah leo umeifanya siku iwe mukideeee wanasemaga bijana ...asante kiongoziiiii
Much respects
Mia miaPamoja mkuu
Hahaha, pamoja mkuu.Umetisha kama reuzi za Ngosha na watu wake
![]()
![]()
![]()
![]()
.....
Natambua sapoti yako Komredi, pamoja sana.Asante musolini kwa historia ya watani wa jadi
PamojaaaAsante kwa nyongeza Mkuu
Itakuwa bomba kinyamaaaa aseeeeh ....niko nyuma yakooShukrani Mkuu ,nikipata muda kama hivi Wikiend nitakuwa natupia vitu ili tukumbushane na kuwekana sawa.
Niliwahi kuuliza hapa, nikaishia kujibiwa kwa dharauMangu kapigwa chini, Siro amechukua na kesho na apishwa
Nmeosha vyombo kwan hujaniona,hvo nmetoa interms of nguvu kaziRambirambi napokeaa
Na kuchamvua mchele umechambua nilikuonaa kwa mbaliiiiiNmeosha vyombo kwan hujaniona,hvo nmetoa interms of nguvu kazi
Sirro anaonekana loyal kwa Sizonje.
Ni rahisi kumkontroo kwa rimoti.
Halafu pia ni mtu wa Kanda ya ziwa.
Wakati Naibu - IGP bwana Kaniki ni mtu wa kimya kama Mangu.
Namuona Mangu akienda kuwa Mkuu wa Mkoa.
PoaSijapata majina yao bado
Ndo JF hiiNiliwahi kuuliza hapa, nikaishia kujibiwa kwa dharau
Yu wapi IGP Mangu?
Bila katiba mpya tutaendelea kulamba viatu vya wakubwaMungu naye asikubali kujidhalilisha![]()
Si aachane tu na serikali moja kwa moja
Waafrika matumbo mbele
......
Na kuchamvua mchele umechambua nilikuonaa kwa mbaliiiii
Ila double touch nzuriiiii

Ingekuwa nchi zilizoebdelea Rais kamtumbua IGP kiboyaboya anayeteuliwa anakataa uteuzi pia aliyepigwa chini hakubali kupelekwa kwingine anaandika barua kuomba kustaafuBila katiba mpya tutaendelea kulamba viatu vya wakubwa