Makapuku Forum

Mjukuu simjui
Itakuwa alipost kipindi sipo hewani

Mi nikiwa na uzi wa maudhui ya kule ntaupost tu no matter what
 
Hata mimi niliona. Kila anayeandika sasa inabidi achekechwe kupitia chekecho la The Bold. Ndiyo wabongo hao lakini. Kukatishana tamaa utafikiri watu wote wanafanana kiuzoefu, kimtazamo na hata kivipaji. Usitegemee encouragement kutoka kwa Mbongo hata siku moja na ukiwasikiliza utakata tamaa. We andika tu. Makapuku tupo tutakupa sapoti ya kutosha. Au iweke huku huku kwetu....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…