Makapuku Forum

Pole sana shemela wangu shunie kwa kumpoteza babu na mjomba katika kipindi hiki kigumu Mungu akusimamie na piga moyo konde

Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe Amina
 
Aisee, salamu zangu za pole ziende kwa mkuu Shunie kwa kuondokewa na ndugu zake muhimu hiyo jana, Mungu ampe faraja kipindi hiki kigumu kwake.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…