Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
hawajui mapenzi ni ugonjwa mbaya sanaMapenz yanatesaa
Wasituone ttunatembea
hawajui mapenzi ni ugonjwa mbaya sanaMapenz yanatesaa
Wasituone ttunatembea
Mondray mtu mmoja yule hanitishiNipo mr ake husna![]()
natabasamu kila nikitaja husna namkumbuka mondray,hb hakikisha hauibiwi ee

Yeye kashaelewaukimaanisha
Nani alimu-approach mwenziebaby huyo tumosa ni mke wa shemela shululu ulivyokua porini ndio walikutana
Kimchepuko tuu unalingaa...Nyie wawili tueshimiane husna ni wangu peke yangu mimi ni roho yake nayeye ndo roho yangu......ohooo
Ntamlinda hata kwa lamli![]()
anayeapproach anakuaga mwanaume mara nyingiNani alimu-approach mwenzie
Mmmh mmeo na ubahiri kazidiwe unakumbuka ulisema kazi unafanya kwa moyo wako wote hata usipolipwa
Wakati wewe afandeMondray mtu mmoja yule hanitishi![]()
Ulimnyapiaaa najuaMmmh upo dada numbisa
Lee zungumza lugha laini kwa habiby wako... Utatuulia unajua?Hii imekaa kinafiki
Aisee duhKimchepuko tuu unalingaa...
Miliki kama shunie kwanza ukivuka vikwazo vya humu wewe ni mwanaume
Unaringa na husna wakat yeye ndo anatafuta wanaume ???
Post za makapuku buana,unacheka peke yako tuKimchepuko tuu unalingaa...
Miliki kama shunie kwanza ukivuka vikwazo vya humu wewe ni mwanaume
Unaringa na husna wakat yeye ndo anatafuta wanaume ???
baby jamaan ebu waache tuKimchepuko tuu unalingaa...
Miliki kama shunie kwanza ukivuka vikwazo vya humu wewe ni mwanaume
Unaringa na husna wakat yeye ndo anatafuta wanaume ???
Mijinga sana ...na tigo yangu nshatupaHahhahah kwa nini haulipendi hilo tangazo
usimsingizie ulisema unajitolea nakumbuka ujueMmmh mmeo na ubahiri kazidi
Haijalishi aisee nampenda sana tuKimchepuko tuu unalingaa...
Miliki kama shunie kwanza ukivuka vikwazo vya humu wewe ni mwanaume
Unaringa na husna wakat yeye ndo anatafuta wanaume ???
Tena uwe makini kweli kweliRafiki kipenziiii niko makini
Si ulivunja mkataba au nikuprleke mahakamani??Ulikuwa hunipi hata dururu moja na nilivyoacha hukunipa hata kiinua mgongo......
Post za makapuku buana,unacheka peke yako tu
ukiwa na watu unaonekana kama chizi
Cc.shululuanayeapproach anakuaga mwanaume mara nyingi