Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
ukimaanishaLee huniamini kabisaaaaa..... Ila nakutahadharisha... Ukimwacha Shunie urafiki utakufa.
ukimaanishaLee huniamini kabisaaaaa..... Ila nakutahadharisha... Ukimwacha Shunie urafiki utakufa.
Nani anakuPM huyo Lee?Ni wewe kumbe ??
Dunia ina mambo kweliii
Hii imekaa kinafikihongera baby kwa kuwa mabingwa wa eplshemela shululu kama nakuona unavyocheka
MhMmmh kwamba ulikuwa unamnyapia husna wangu
Experience na ulinzi haijaisha ujue.......ohooo
Nakumbuka aisee![]()
![]()
huyo wake ni vale sijui walikoseana nini akaja kumuanzishia thread ya msamaha na mpk avatar akaweka ya vale
Uko wapii kwanza ..unazidiwajee na shedede wakat last seen kwa husna ilikuwa kwakoo



Unaongea na naniUnekosea ...au uko bar
Yaan wewe dunia iache kama ilivo ...Mambo gan tenaa
NimeshatambulishaCc shunie shemela
Nashukuru kumfahamu mke mweetumosa mke mwee huyu anaitwa Mr.Lee ni my mume

Najua tu zote ni trick niachane na husna wanguNa kesho anatakiwa kazini
Good obedient wife

baby usitake kuongea mambo yako wanapendana sana
yapi baby
Nilijua tu

Mmmh upo dada numbisaMarahabaa mjukuu wangu wa mwisho kati ya wajukuu saba![]()
![]()
![]()
![]()
nafanyaje sasa mke mweePepelea ndoa mamii
Unachekaa tuu
Halina pingamiziiNa kesho anatakiwa kazini