Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
hiyo hiyo mojaEpl zimekuwa sita si ndio
hiyo hiyo mojaEpl zimekuwa sita si ndio
Rafiki kipenziiii niko makiniLee huniamini kabisaaaaa..... Ila nakutahadharisha... Ukimwacha Shunie urafiki utakufa.
Anatanga-tanga kama kuku wakienyeji huyosi wapenzi zako kama valentina mpk msamaha ukaja kumuanzishia thread alivyokununia


Hahhahah kwa nini haulipendi hilo tangazoKujazwa upepo
Haya ngoja tuiache ilivoYaan wewe dunia iache kama ilivo ...
Yaan shemela hivyo vitu vigumu sana kuhamaAu kabila
Kama GoogleRafiki kipenziiii niko makini
Mmmh kwamba ulikuwa unamnyapia husna wangu
Experience na ulinzi haijaisha ujue.......ohooo

Sio kinafiki baby imetoka moyoniii kante wanguHii imekaa kinafiki
Ulikuwa hunipi hata dururu moja na nilivyoacha hukunipa hata kiinua mgongo......Kesho ulinzi kama kawaida ...utapata wapi pesa za kumtunza husna ...
umeanzaYaan wewe dunia iache kama ilivo ...
Kabila ndio gumu kuhama, vingine una hama tuYaan shemela hivyo vitu vigumu sana kuhama
Mh lakini shemela shululu alikua hana makoloni usimwalibie![]()
![]()
yapi baby
Mimi sinaga zengwe ...nachana live
Kama nakuonaa![]()
![]()
nipo kitandani toka sa 2 hata sijui kama wanaonyesha
natabasamu kila nikitaja husna namkumbuka mondray,hb hakikisha hauibiwi eeMmmh upo dada numbisa
Mie ndo nilimpatiaalipewa na nani
baby huyo tumosa ni mke wa shemela shululu ulivyokua porini ndio walikutanaHalina pingamizii