Ngoja mwenyewe aje hapa athibitishe.Apia? Basi sawa..!
Asanteni kwa mwaliko.Huyu ni mchungaji halisi huyu na waumin wake wamo humu humu ndani,karibu nawe kwenye Ibada zake
Cc
jambilo

Njema sana vp wewe.Habari ya jion wakuu
Ya mwisho niliyonayo ni s03 episode 11 sina uhakika kama wiki hii wameachia e12Hapo kwenye movies tuko pamoja.
Hivi The 100 imeishia episode ya ngapi?
UbarikiweAsanteni kwa mwaliko.![]()
Unamaanisha niache kusema ukweli au?Mkuu acha roho mbayaaaaaa
Jaman nataka nikeshe na bebez mmoja humu leo, yani hatulali mpaka majogoo full makiss ya Bluetooth... wapi everlenk

Mkuu roho mbayaaa iyoUnamaanisha niache kusema ukweli au?
FA ni kombe la wachovu hilo halina ubishi
Huku nami pia nipoKaribu kwenye ulimwengu WA series...
The 100,Empire, the flash, Power, the original......
Ukigeuka upande WA pili unakutana na Korean series yaaan full starehe![]()
![]()
Okay thanks.Ya mwisho niliyonayo ni s03 episode 11 sina uhakika kama wiki hii wameachia e12
Aisee.Jaman nataka nikeshe na bebez mmoja humu leo, yani hatulali mpaka majogoo full makiss ya Bluetooth... wapi everlenk
Mwenyewe nimehamaki

Kwakwel series zina raha yake kama hapa naangalia power huku natupia macho jamii forum....Okay thanks.
Mimi ni mpenzi wa series sanaa ungekuwa karibu ungenikoma.

Hahaha,hongera.Kwakwel series zina raha yake kama hapa naangalia power huku natupia macho jamii forum....
Maisha muruaaaaa![]()
![]()

Yap, hii ni burudan nzuri na inakufanya utulie nyumbaniHuku nami pia nipo
Under the dome niliipakua had s02e03 ila nimeangalia season 1 had e04 tu.Hahaha,hongera.
Kuna moja inaitwa *Under the dome* nilikuwa naipenda sijui hata imeishia wapi.!!!!
Nimeishiwa sana series nowadays halafu za kikorea sizipendi!![]()
![]()