Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
" Bwana yule "TOP TEN
Leo tuangalie wezi/vibaka au matukio 10 ya wizi maarufu yaliyowahi kutokea tena kwa mafanikio
Najua humu kuna mashabiki wa 'bwana yule' hivyo mimi naelezea kwa ufupi tu na ilitokea kuna tukio au mwizi aliyewahi kuelezewa na 'bwana yule' muelrwe tu ni kwa bahari mbaya na msianze kuleta maneno maneno
Hii ya leo ni ngumu kidogo
Karibuni
......
Si mchezo9/2010 Credit Lyonnais Paris BurglarsMwaka 2010 wezi waliotikuka walifanikiwa kuvunja na kuona kijanja katika Benki ya Mikopo ya Lyon iliyopo katikati ya jiji la Paris na kuiba viboksi vya kutunzia vito na pesa vyenye thamani ya mamilioni ya Euro pamoja na pesa taslimu.
Walifaniliwa kuingia kupitia mbinu za kijanja na kuvuruga mifump yotee ya ulinzi ma hivyo kuiba kiulaini bila kushtukiwa
Pia mwaka 2011 genge hilo lilifanya kufuru nyingine
Hadi sasa umekosekana ushahidi wa kiwezesha kuwashtaki
........
AnakumbukaMkumbushe shemela labda amesahau
Mafans wake waliotukuka hawachelewi kusema umekopi" Bwana yule "
WoyoyooooooooooooNiunganishe mapendo naye
Aje bongo nishilikiane naye aisee8/Carl Gugasian
Huyu ni kibaka maoni mwenye Shahada ya Uzamili kutoka Chuo Kikuu cha Pennsylvania huko nchini Marekani ambaye akiamua kutumia usomi wake kufanikishia matukio ya kijambazi
Alipohitimu tu akaanza kuiba magari katika casino 8 tofauti na kuyatumia kwenye matukio yake ya kihalifu
Aliprmdelra zaidi kuiba kwenye mabemki na slifika dakika 5 kabla ya benki kufungwa na kutumia dk 3 tu kubeba mpunga na kusepa zake bila kukamatwa
.....
Elimu samtaimu hurahisisha mamboHuyu ndiye kibaka
Kuna watu wanajua kuiba aisee7/Paris Modern Art Museum BurglaryMwezi May 2010 mwezi alivunja Makumbusho ya Sana'a ya Paris na kuiba kazi za kisanii kama vile za Picasso and Matisse ambazo zilikuwa na thamani ya Euro milioni 100
Wizi huo ukaja kugundulika keshowe asubuhi muda wa saa 1 na kuaminika kwamba vitu vilivyoibiwa vinaerza kufika thamani ya Euro Milioni 430
Hadi kufikia mwaka 2012 hakukuwa na mtu yoyote aliyekamatwa kuhusiana na tukio hilo
.....
Habari za porini afande shededeWakuu habar
Unatumia usafiri ganiNipo njiani kuelekea kunako muungano
Aisee6/Derek 'Bertie' Smalls
Huyu alikuwa ni mwizi aliyebobea huko Uingereza katika miaka ya 1960
Kabla ya miaka ya 1970 alikuwa ni mwizi mwenye jina kubwa kwenye mitaa ya jiji la London
Mwezi Februari 1970 aliongoza genge liitwalo Wembley Mob kuvamia na kuiba pesa kiasi cha Pauni 240,000 katika benki ya Barclays kiasi ambacho ni rekodi kwa kipindi hicho
Kisha akapanda treni na kutimkia jijini Paris kusikilizia upepo
Baada ya juahidiwa kupewa kings na mwendesha mashtaka iwapo atakubali kuelezea wizi ulivyofanyika kwaajili ya faida ya Polisi siku zijazo alikubali kurudi na kutoboa siri ambapo genge zims lolipigwa mvua ya miaka 100 jela ila yeue akasamehewa
.......
Haaaaahaaaa, wanakushindaje kwa mfanomashemela wananishinda
Aisee, ni jina au lughaNjema kaka yangu mapembelo?
Sio kama huku bongo, mwizi akiwa anaiba polishi wanajua na mkwanja wanakula5/Isabella Stewart Gardner Museum Robbers
Mwezi March 1990 wezi wawili walijifanya ni maofisa Polisi wa Boston na hivyo kuingia kiulaini katika makumbusho ya Isabella Stewart Gardner na kukomba vitu vya sanaa vyenye thamani ya USD Milioni 500 wakatoka nje na kutokomea kusikojulikana
Baadaye ikatangazwa bingo ya USD 5 Milioni kwa atakayefanikishwa kukamatwa kwao lakini hadi leo kimyaaaa
.......
Hyo ni lugha ya kikinga hnyAisee, ni jina au lugha
Kamba,nyaya,wahiii alinichosha sana huyu mtualikua na kamba mguuni pole yake
Huu wizi ulitumia nafikiri dk26 kabla ofisi haijafunguliwa4/The School Of Turin
Mwezi Februari huko School of Turin Leonardo Nortobatolo aliongoza genge lake la kihalifu kufanya tukio la kihistoria
Walifanikiwa kuingia kupitia dirishsni kisha kuwafubgulia na wenzske watatu na kuingia kwenye sehemu ya kutunzia vito na fedha Vault baada ya kufanikiwa kuvuka viunzi kibao na hivyo kufungu vibox 123 kati ya 150 na kutokomeazao
........
Ungo tu mkuu.ila alishukia ubungo.Alipitia Tanga to Unguja