Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Muache tuu sakayo alichofanya leo ..!ahahah mistari ya ulaya una maneno we na mkeo hivi uko wapi lakini
Ila kesho hatoenda kazini...!

Muache tuu sakayo alichofanya leo ..!ahahah mistari ya ulaya una maneno we na mkeo hivi uko wapi lakini

ZABURI 91

Amen mama..ZABURI 91
4.Kwa manyoya yake atakufunika Chini ya mbawa zake utapata kimbilio,Uaminifu wake ni ngao na kigao
5.Hutaogopa hofu ya usiku,Wala msha+/le urukao mchana.
TUOMBE
BABA hatutaacha kukushukuru kwa wema wako.
Tunaomba toba kwayote tuliyokosa kwa mawazo ,maneno na matendo kwa kuwa tumetenda dhambi uturehemu.
Usiku wa leo tunaenda kinyume na wanga,wachawi,walozi na nguvu zote za giza,mkono wako ukatukinge uwe ngao usiku wote na damu ya thamani ya Yesu itutakase.
waponye wagonjwa ,wafariji wajane,wafiwa waliokata tamaa wape tumaini jipya,tunaomba Amani ktk familia,mahusiano,wachumba,wanandoa wote.
Linda vijana,watoto na wote ambao wanahitaji ulinzi usiku waleo rusipungukiwe.
Tunaoma Baba katika jina la YESU AMEN
MLALESALAMA
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Aminaa nimefurahi piaKaribu sana
Mi naitwa Jimena Jimenes ukipenda utaniita JJ, ama katibu wa weka picha![]()
![]()
Salamu kwa wifi
Nimefurahi kufahamiana na wewe



ZABURI 91
4.Kwa manyoya yake atakufunika Chini ya mbawa zake utapata kimbilio,Uaminifu wake ni ngao na kigao
5.Hutaogopa hofu ya usiku,Wala msha+/le urukao mchana.
TUOMBE
BABA hatutaacha kukushukuru kwa wema wako.
Tunaomba toba kwayote tuliyokosa kwa mawazo ,maneno na matendo kwa kuwa tumetenda dhambi uturehemu.
Usiku wa leo tunaenda kinyume na wanga,wachawi,walozi na nguvu zote za giza,mkono wako ukatukinge uwe ngao usiku wote na damu ya thamani ya Yesu itutakase.
waponye wagonjwa ,wafariji wajane,wafiwa waliokata tamaa wape tumaini jipya,tunaomba Amani ktk familia,mahusiano,wachumba,wanandoa wote.
Linda vijana,watoto na wote ambao wanahitaji ulinzi usiku waleo rusipungukiwe.
Tunaoma Baba katika jina la YESU AMEN
MLALESALAMA
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wakuu habar za asubuhi![]()
Mkuu obeHata tusio wakuu tumeitikia salam yako, habari yako Shede



Amina siku inakuwa njemaZABURI 91
4.Kwa manyoya yake atakufunika Chini ya mbawa zake utapata kimbilio,Uaminifu wake ni ngao na kigao
5.Hutaogopa hofu ya usiku,Wala msha+/le urukao mchana.
TUOMBE
BABA hatutaacha kukushukuru kwa wema wako.
Tunaomba toba kwayote tuliyokosa kwa mawazo ,maneno na matendo kwa kuwa tumetenda dhambi uturehemu.
Usiku wa leo tunaenda kinyume na wanga,wachawi,walozi na nguvu zote za giza,mkono wako ukatukinge uwe ngao usiku wote na damu ya thamani ya Yesu itutakase.
waponye wagonjwa ,wafariji wajane,wafiwa waliokata tamaa wape tumaini jipya,tunaomba Amani ktk familia,mahusiano,wachumba,wanandoa wote.
Linda vijana,watoto na wote ambao wanahitaji ulinzi usiku waleo rusipungukiwe.
Tunaoma Baba katika jina la YESU AMEN
MLALESALAMA
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()


