mke mwee mimi sina tatizo shida ipo kwa lee kuna uzi niliweka ndio hapo ulipoanzia na nimeomba sana msamaha kuwa nimekosea kuweka ule uzi mara sijui kuna kaka alinianzishia thread pia eb niambie nafanya nini kama mtu hataki kukusamehe ameshaamua sijui kukuacha mara mke wa pili sijui
mke mwee mimi sina tatizo shida ipo kwa lee kuna uzi niliweka ndio hapo ulipoanzia na nimeomba sana msamaha kuwa nimekosea kuweka ule uzi mara sijui kuna kaka alinianzishia thread pia eb niambie nafanya nini kama mtu hataki kukusamehe ameshaamua sijui kukuacha mara mke wa pili sijui