Makapuku Forum

Jaribu kuupdate
Km umekula ban unakuwa GUEST tu huwezi hata kureply
......................
 
Mkuu ngoja kwanza niwashe pc nichek hapo kwenye tatizo then nitarudi.

Wakuu mwenye kujua hii kitu vizuri tuungane kumsaidia huyu jamaa.
 
Mkuu hili jukwaa mlilifungua kwa sababu za ubaguzi mnaoupata kwa kutukanwa na wakongwe, naona sasa ninyi ndo mmekuwa wa ...!

Rais wenu Bitoz naona ndo anaongoza sasa hivi kwa kejeli hata za kukaribia kuwazidi wakongwe.
Toa tamko basi mana mida kama hii speed yetu humu ndo inaongezeka kwa kasi...unataka nini kwani?
 

Nipe tabia ya eneo lako mkuu...unajenga wapi?
 
Kwaiyo we mchokozi!!!? Basi haya tushakuelewa.. Tunaweza endelea?
 
asante na shukrani kwa kujitolea kwenu
Au ukitaka njia simple tumia Android App ya Jf.
Fuata maelezo haya hapa.
1.uki login kabla ya kusoma thread yeyote utaona alama ya "+" chini kabisa kulia.

2.Click then itakuletea maneno yafuatayo.

3.chagua *new topic*

4.itatokea sehemu ya imeandikwa sub forums click hapo then utaona majukwaa yote utachagua unalotaka

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…