Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna watu ambao huchukuliwa kama wahuni, wakorofi, wavuta bange, wezi na mambo mengine mabaya mabaya.
Wengine huwa wako hivyo lakini wengine ni tofauti, ukikaa nao na kuwasikiliza ni watu wazuri na wenye huruma mioyoni mwao.

Msikilize 2Pac katika hii interview aliyofanyiwa na MTV mwaka 1992.


YEAH....!TOUCHING!NO NEED TO BE A MILIONAIRE IN A GROUP OF POOR PEOPLE ..NO NEED .....UKWELI ALIMAANISHAA...R.I.P TUPAC SHAKUR
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom