Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
woteeeeeeee tuLeo chagua moja.....mshenga au binamu???
sio wewe hunitakii mema mie unataka niachwe
woteeeeeeee tuLeo chagua moja.....mshenga au binamu???
Pole shemela, Mungu akusimamie kwenye mapito unayopitayaan shemela sipo sawa lkn nikiingia humu sio siri nafarijika sana
Kamua babaa!Zinaenda aisee

dolare huwezi kumiliki vibonge kama shunie..Hvi huyu mtu ni ke ama me...Eboooooh
Kuna wageni huwa wanakuja Kuja huku, lakini leo sijawaonahahahhh wageni gani hao niliowapunguza leo
ameniambia nikusalimie sana ameshakuonaNamsubiri afro-cast wangu sakayo
WerrasooooooooooooòooooooonLeo chagua moja.....mshenga au binamu???
hahahhhhAisee dah
Kama hujawahi kupata 100% ukiwa chekechea,msingi au sekondari
Basi endelea kufirahia kupata 100% wakati simu inajaa chaji au unadownload vitu
![]()
![]()
![]()
.......

Pole shemela, Mungu akusimamie kwenye mapito unayopita
ameen shemela wangu Mungu atanisaidia
Kamua babaa!
Biladolare huwezi kumiliki vibonge kama shunie..



mbona vibongeKweli kabisa aiseeKamua babaa!
Biladolare huwezi kumiliki vibonge kama shunie..
Achana nayeHvi huyu mtu ni ke ama me...
Yeye muda wotee anavyonza...?
Who the hell are you?
Akili za sakayo sasa hivi....Nimeshamwita naona akili sio zako hizo
Kuna wageni huwa wanakuja Kuja huku, lakini leo sijawaona




kwahiyo avatar yangu inamaanisha nini