Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043
Mkuu nakumbuka siku chache zilizopita ulisema wewe ni bachelor sasa nashangaa unasema una mke 1..Acheni majungu
Nina mke m1 tu
![]()
![]()
![]()
.............
Au umefumaniwa jana ukapigwa ya mkeka fasta.
Mkuu nakumbuka siku chache zilizopita ulisema wewe ni bachelor sasa nashangaa unasema una mke 1..Acheni majungu
Nina mke m1 tu
![]()
![]()
![]()
.............
How are you love?Sweet!
Niko poa poa babe!How are you love?
Mnakumbuka kuwa nawafungisha ndoa keshoeeeNiko poa poa babe!
I can feel it honey,Niko poa poa babe!

Mi sina habariMnakumbuka kuwa nawafungisha ndoa keshoeee
Nikwambie kitu honey
Unapoambiwa jimena ni assistance wake unaelewa nin mkuu?Mkuu nakumbuka siku chache zilizopita ulisema wewe ni bachelor sasa nashangaa unasema una mke 1..
Au umefumaniwa jana ukapigwa ya mkeka fasta.
Niambie babe!Nikwambie kitu honey
Akili mukichwa mkuu, fumbo mfumbeni mjinga, jimena ndo mpango mzima
Bora umeniambia mkuu,nilikuwa tayari nimeanza kurusha karata.Akili mukichwa mkuu, fumbo mfumbeni mjinga, jimena ndo mpango mzima
I love u more dear.......I'm yours.
Ohooo chakula cha baba makapuku, huo jambilo alilamba chin kufuatilia koote..nilichoka jimena aliposema mimi mamako yaani mama makapukuBora umeniambia mkuu,nilikuwa tayari nimeanza kurusha karata.
Hata mimi sielewi elewi kabisa leoNaona leo hapa ndani pamepoa sana sijui kwanini.!!!!
********************
Thanks my love. Mimi ni wako pekee yakoI love u more dear.......I'm yours.