huyo anaitwa husna toka mwanzo nilimwambia akae kwa shemela shululu atulie ale maisha akawa haeleweki kaenda kwa mondray kuruka ruka naona huko yameshamshinda
anataka kurudi huku ndio haiwezekani tena tumosa tumeshakukabidhi usijal mamy shululu ni wa kwako pekee hana makando kando ana tabia kama za baby wangu halaf sijakutambulisha kwa Mr wangu ngoja akirudi nitakutambulisha