Makapuku Forum

Sheria ni sheria, kama tunasema vyeti feki bi kharamu basi na iwe hivyo, uchapakaji wa kazi kwa kutumia cheti feki haiwezi kuwa samehe
hii inadhihirisha kuwa tanzania yote imekumbwa na vyeti fake "i wonder"
siku nyingine tusije stuka tukaambiwa sizonje naye aligushi vyeti vyake vya form 4 na 6 "what goes around comes around"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…