Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kuna kitu najifunza hapa, kuna kamsemo fulani ka kajamaa fulani keupe 'never underestimate the power of stupid people in a large group' nina maana nzuri tu...kwamba watu tukiamua tunaweza... leo kuna mtu mmoja alikaa na mtu mwingine wakaja na hili nwazo la Makapuku na muitikio umekuwa chanya sana,perhaps Th Name ana nyota ya chips mayai who knows ila kwa muktadha huu huu naamini atatokea mtu mwingine (na yupo) ambaye ataanzisha forum 'wapi tulipokosea na ni nmna gani tuendelee mbele kuepuka makosa ya zamani' naamini kwa dhati kabisa kwamba kwa mawazo yetu tunaweza kuirusha dunia kichura chura...Cheers!
 
Kuna kitu najifunza hapa, kuna kamsemo fulani ka kajamaa fulani keupe 'never underestimate the power of stupid people in a large group' nina maana nzuri tu...kwamba watu tukiamua tunaweza... leo kuna mtu mmoja alikaa na mtu mwingine wakaja na hili nwazo la Makapuku na muitikio umekuwa chanya sana,perhaps Th Name ana nyota ya chips mayai who knows ila kwa muktadha huu huu naamini atatokea mtu mwingine (na yupo) ambaye ataanzisha forum 'wapi tulipokosea na ni nmna gani tuendelee mbele kuepuka makosa ya zamani' naamini kwa dhati kabisa kwamba kwa mawazo yetu tunaweza kuirusha dunia kichura chura...Cheers!
Mkuu ondoa hofu hii forum ni moto WA kuotea mbali .....mtu akileta thread km hii itahamishiwa himihumu
Huwezi kuiga "cha MTU"
...................
 
Mkuu ondoa hofu hii forum ni moto WA kuotea mbali .....mtu akileta thread km hii itahamishiwa himihumu
Huwezi kuiga "cha MTU"
...................

Salute! mimi ni mmoja wa watu wachache ambaye sijawahi kudharau jambo,hata kama wengi wataliona ni la kipuuzi...nakuhakikishia JF ni zaidi ya ofisi,ni Zaidi ya kijiwe...to my opinion nadhani ni Zaidi ya chuo kikuu cha elimu dunia!
 
5c28d1259324554476c50e7e98505f47.jpg
a4f15f439d8f410bd3846436b155f444.jpg
231a33ba420d5d9bae6688981aa5e01f.jpg
6f296be717741296e12ce7db3420d1fc.jpg
1c7fb070207890e108650fab3c36d26a.jpg

Mikocheni B
Rose Garden
...................
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom