Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
Ha ha haaaa makapuku raha sana! Ingia tu na 'fyatu fyako'
Mkuu unapewa likes na wewe utoe likes.
Ha ha haaaa makapuku raha sana! Ingia tu na 'fyatu fyako'
Umebanwa na tumbo la kuhara halafu unadai risitiHuoni sasa mnapingana na agizo la mheshimiwa Rais? maana alisema ukienda hotelini dai risiti, ukienda sokoni dai risiti....ukienda kwenye huduma yoyote dai risiti!
Karibu sana jamvinina mie kapuku mwenzenu. naomba kujiunga.
Hahahaha kijanaNipo na Th Name
Live hapa
...............
mimi ni just eight yeaz old!
Bila shaka umesahau ni eighty!!!!!

We mwanamke upo long time no seemakapuku!!
hahahhaha nipo asee miss u mnoWe mwanamke upo long time no see
hahahhaha nipo asee miss u mno
miss you sana. Mbona umejificha sanaUmebanwa na tumbo la kuhara halafu unadai risiti
![]()
![]()
..................
me nipo mbona ila hua nachungulia then natoka bila ku log in![]()
miss you sana. Mbona umejificha sana
sijaelewa muhtasari kidogo nipatie labda na mimi nikapuku sina habari
Patamu hapo!!Hii tabia ya kusingizia dharura imesababisha wenye nia ovu kutumia mwanya huo kuingia mikataba inayoendelea kutunyonya sana....risiti ni muhimu! Hata kama una Girlfriend akikuaga kwamba anaenda kwa boyfriend wake wa zamani, akirudi dai risiti! Tutafika tu!
Mpaka nikasema huyu MTU amepotelea wapi tena? Karibu saname nipo mbona ila hua nachungulia then natoka bila ku log in
Patamu hapo!!