Makapuku Forum

Makapuku Forum

Shunie, ishu ya jana na yule jamaa aliyekuanzishia thread akijiita Muosha Rungu iliishaje? Au Shedede aliimaliza kibabe kama kawaida yake?
0fa424c5e7a9746db709d5ebcf48fc40.jpg
 
Shunie nakushauri badilisha avatar... Laa sivyo utamkera sana Lee. Lee is my friend these days you know.
Mmh urafiki huo umeanza lini tena
kuhusu avatar alishaniambia nisibadili watu wakufwe tu kwa kuumia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom