EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Acha wivu.
Duh! Ashiria mbaya hii, nahisi maji niliyooga leo hayajachanganya na zile za kutoka kwa Mshana Jr.Hatujaziandika!
.....
... Ngoja nirudi.
Acha wivu.
Duh! Ashiria mbaya hii, nahisi maji niliyooga leo hayajachanganya na zile za kutoka kwa Mshana Jr.Hatujaziandika!
... Ngoja nirudi.Duh! Ashiria mbaya hii, nahisi maji niliyooga leo hayajachanganya na zile za kutoka kwa Mshana Jr.
........ Ngoja nirudi.
rudi maana hakuna namna.
Wewee naye....Hatujaziandika!
hahahaha hapo sawa.
Kweli.Kweli makapuku
Mmmh hiyo zawadi nayo labda ilikuwa fake
Usiogope kaka.Mie nilisema tu
![]()
![]()
Usijali Mkuu, ipo siku utaelewa tu. Asante kwa kuchungulia!Ukurasa wa 900 na kitu na bado sijaelewa kinachoendelea humu...
Harudi ng'o
![]()
![]()
![]()
...............
aisee poleni sana na jotoHuku ni full jua tena linachoma balaa.
Mammy, naona leo umekuwa wa kwanza kuamka na kutoa hi kwa KF!Morning kapukuz
Hongereni pia kwa mvua iliyonyesha huko.aisee poleni sana na joto
Utaelewaje wakati kichwa kimejaa mtori.