BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Asante dear usiku mwema pia ubarikiweKwa herini, muwe na usiku mwema.. Mpaka wakati mwingine tena Mungu akijaalia...
Mume wangu T, love you roho yangu... Usiku mwema hubie.. Ukinimiss you know where to find me... Take care, I always love you
AminaAsante dear usiku mwema pia ubarikiwe
I know my love...Kwa herini, muwe na usiku mwema.. Mpaka wakati mwingine tena Mungu akijaalia...
Mume wangu T, love you roho yangu... Usiku mwema hubie.. Ukinimiss you know where to find me... Take care, I always love you
Wee acha tuu...Ulikuwa unaelewa unachotaka au ulitengeneza nini kichwani?
Asante binamu kwa good music
Asante sana Obe Ubarikiwe sanaGitaa hupendezesha muziki
Naimani tumeshinda salama wadau, tukiendelea na mapumziko ya wiki ya kutumia baada ya kuwa tumepokea haki yetu.
Leo tumwangalie mwanadada maarufu kwa jina la Tracy Chapman, mara ya kwanza nasikia nyimbo zake ni baada ya kuwa nimemsikia Karola Kinasha na nilijikuta navutiwa na nyimbo zake na zaidi upigaji wake wa gitaa, na kama unavyojua kijisegment hiki ni kwa ajili ya wacharaza gitaa tu.
Ni maarufu kwa nyimbo za kisiasa na kuelezea masuala ya kijamii na kutokana na kazi yake ameshinda tuzo 4 za Grammy na tuzo nyingine nyingi ndani na nje ya USA.
Keshafanya kazi na mashirika ya kimataifa ya kupigania haki za binadamu, Mwaka 1988 katika kuadhimisha miaka 40 ya Tamko la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu (UDHR) alitumbuiza jijini London chini ya Amnesty International, na mwaka huo huo alitumbuiza katika kukumbukumbu ya kuzaliwa Nelson Mandela.
Nyimbo zake maarufu ni pamoja na ninaoupenda zaidi, 'talking about revolution', Fast Car, For My lover, Matters of the heart, let it rain na ambao nitaupandisha leo 'give me one reason'. Wimbo wa Fast Car ningependa uutafute na usikize gitaa linavyodonolewa kufuatisha maneno yenye kusisismua bongo.
Tracy keshatumbuiza na wapiga gitaa maarfufu duniani akiwemo BB King, Buddy Guy, Eric Clapton na pia kina Ziggy Marley pia na muitaliano Luciano Pavarroti.
...ana msemo wake ninaoupenda ' kama kuna watu wanadhani una nafasi ya kutoa mchango wako, basi toa, ni kitu kizuri kufanya.
Mwangalie hapa katika clip ya YouTube akicharaza gitaa na gwiji Eric Clapton.
Hadi wakati mwingine, twe na usiku mwema
miss u big binamu yangu inaenda vizuri tu sijui upande wako bakurutu vipiiiii binamu
Najisikia vizuri kusema umeupenda. Inanifanya nisichoke kutafuta 'pini' za ukweli.
BTW, leo muda umekwenda kasi sana hadi nikatamni kuitupa saa yangu
Asante sana Obe Ubarikiwe sana
Ni mpya...unadhani ningeitupa kweli 😀, well, kwa sasa sio mpya ila kama hujasikia habari zake , basi itakuwa ni mpya kwako my dear
Ni mpya
Love you more hubby, hata ndugu zako wanajua venye nakupenda...I know my love...
Nakumiss kila muda...i miss you already..
Ila najua pa kukupata mama..!
You have always become my backup when things seems to be wrong and boring..
Wee mwanamke Mungu akupe miaka mingi...sijui nitakulipa nini hata..
I love you sakayo wangu..
I am speechlessLove you more hubby, hata ndugu zako wanajua venye nakupenda...
Usijali mume wangu kipenzi, upendo wako kwangu ni zaidi ya malipo...
Ahidi kunipenda tu. Hilo latosha kwangu lovie....
Nshakumiss tayari, ila daaaah.... Naomba nilale love...
Ukinihitaji nipo kwa ajili yako T wangu...... Mungu akutunze jamani
Usiku mwema again, love you honey
Najisikia vizuri kusema umeupenda. Inanifanya nisichoke kutafuta 'pini' za ukweli.
BTW, leo muda umekwenda kasi sana hadi nikatamni kuitupa saa yangu
Khaaaa binamu au leo twende njenjeBakulutu ilikuwa jana, leo kukaa na kufanya mambo ya kimwili. Ujasiliamwili
Zawadi haitolewi binamu...well, niko kwenye mchakato wa kupata simu ya camera, mjombaangu lee empire ataniletea nitaipiga picha uione. Au kama vipi naweza kukupatia kabisa kama zawadi (kupenda si jambo dogo-ni kujitoa sadaka)
usilale sasa ngoja nimuombe nyagei mlinzi wako amwambie bossMuombeee mume ruhusa kwanza bhana
Baba paroko yuko wapi jamani.... Nimemmiss kweeli
Muangalie basi. Mtakuja kucheza hata pono za maneno hapa muwasumbue walinzi akina ShededeLove you more hubby, hata ndugu zako wanajua venye nakupenda...
Usijali mume wangu kipenzi, upendo wako kwangu ni zaidi ya malipo...
Ahidi kunipenda tu. Hilo latosha kwangu lovie....
Nshakumiss tayari, ila daaaah.... Naomba nilale love...
Ukinihitaji nipo kwa ajili yako T wangu...... Mungu akutunze jamani
Usiku mwema again, love you honey
Napenda nyimbo za gospel zote,napenda kuimba hizo nyimbo pia nyimbo zenye maadili na ujumbe mzuri,napenda ala za mziki tofautitofautiNashukuru 'B', ukiacha gospel nyimbo gani zinakuvutia na nini kinakuvutia katika muziki.