wacha tucheke my dear maisha yenyewe mafupi,hapa nalia watoto waliofariki yupo mtoto binamu yangu alimsimamia ubatizo.ni mtoto namfahamu vizuri .watoto wamezimika kama mishumaa kwenye upepo...wapumzike kwa amani
wacha tucheke my dear maisha yenyewe mafupi,hapa nalia watoto waliofariki yupo mtoto binamu yangu alimsimamia ubatizo.ni mtoto namfahamu vizuri .watoto wamezimika kama mishumaa kwenye upepo...wapumzike kwa amani