Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Hiyo ni kazi yangu nimepewa na boss Transcend ya kumlindia mali yake. Tanga raha boss kafa kaozaNyagei nawe naona unapambana. Naona nilipitwa au nimesahau tu. Mrs Nyagei ni nani? Sakayo ama? Kama vipi nipe kazi ya ulinzi nimfundishe kazi Shedede. Hutakuwa na wasiwasi tena mkuu na malipo yangu ni kidogo siyo fortune kama Shedede anavyomkamua Lee![]()

