Uache kuiga watu wewe..hahaha hamna binamu team zangu zinajulikana manchester na simba mnyama na madrid kidogo ya ronaldo binamu
hahaha hamna binamu team zangu zinajulikana manchester na simba mnyama na madrid kidogo ya ronaldo binamu
Khaaa nimemuiga nan bas ngoja nijifkilie naweza hamia chelsea kwa kanteUache kuiga watu wewe..
....unajua nilitaka kuweka nyuzi za gitaa kama nilivyoahidi lakini nikaona niangalie mechi za Futuhi yaani Man U na Celta
na hapo kwa manchester ndio tunapogombana na mjomba akoEbhanaeee, tunapishana hapo tu kwa Manchester, ila kwengine kote tuko pamoja
binamu ujue unanifurahisha sana
Hahahaaa....hama tuuKhaaa nimemuiga nan bas ngoja nijifkilie naweza hamia chelsea kwa kante
Hahahahahha, hata mimi mechi za alhamisi zinanifurahishaga sana, napata kigagazito, niangalie Futuhi au niangalie ManU.
Kwa vile ni siku ya vichekesho naangalia zote
woyoooooooo in baba mchuchu's voice nalalaaaaaMan u haooooooo fainali
ngumu sana kama kuhama dini hivi naanzajeHahahaaa....hama tuu
Huwa unanisikiaga eeh!?Msubiri SHIMBA atakwambia kasayari wenyewe kadogo km goroli
.......
Duh! Mwanafalsafa mbobezi. Akikujibu nishtue!...hivi ukisikia mlo kamili huwa unaelewa nini!? (Jibu hili swali bila kujali kama una njaa au huna)
Bandwagon fansAunty yangu nakupendea hapo tu, timu inayoshinda ndo yako. Ya nini kujipa stress bhana?
Yuyuyuyu...hivi ukisikia mlo kamili huwa unaelewa nini!? ( Jibu hili swali bila kujali kama una njaa au huna)
Hata juzi alikuwa anashabikia mbao fcAunty yangu nakupendea hapo tu, timu inayoshinda ndo yako. Ya nini kujipa stress bhana?
Futuhi....unajua nilitaka kuweka nyuzi za gitaa kama nilivyoahidi lakini nikaona niangalie mechi za Futuhi yaani Man U na Celta
Nimeokokamzee wa harakati