Makapuku Forum

Makapuku Forum

CglwdQ3WgAAD9Yx.jpg
 
Mshikamano wenu unatisha, huu uzi hauna jambo mahususi la kujadili lakini umekuwa na mvuto wa aina yake, hii ilinipelekea kuufananisha na ididingo the need, wengine wanaingia na wengine wanatoka, usiku na mchana hukosi mtu hapa.
Nawatakia majadiliano mema na ya amani na zaidi ya yote hitimisho lake liwe au yawe niambo yenye tija katika maisha yetu ya kila siku .
Mungu awalinde, awape ushirikiano na upendo wa dhati miongoni mwenu
Amen
Wenu
Jeimbiliuo
 
Mshikamano wenu unatisha, huu uzi hauna jambo mahususi la kujadili lakini umekuwa na mvuto wa aina yake, hii ilinipelekea kuufananisha na ididingo the need, wengine wanaingia na wengine wanatoka, usiku na mchana hukosi mtu hapa.
Nawatakia majadiliano mema na ya amani na zaidi ya yote hitimisho lake liwe au yawe niambo yenye tija katika maisha yetu ya kila siku .
Mungu awalinde, awape ushirikiano na upendo wa dhati miongoni mwenu
Amen
Wenu
Jeimbiliuo
Huyu kapuku Bitozi anapatikana wapi?
 
Mshikamano wenu unatisha, huu uzi hauna jambo mahususi la kujadili lakini umekuwa na mvuto wa aina yake, hii ilinipelekea kuufananisha na ididingo the need, wengine wanaingia na wengine wanatoka, usiku na mchana hukosi mtu hapa.
Nawatakia majadiliano mema na ya amani na zaidi ya yote hitimisho lake liwe au yawe niambo yenye tija katika maisha yetu ya kila siku .
Mungu awalinde, awape ushirikiano na upendo wa dhati miongoni mwenu
Amen
Wenu
Jeimbiliuo
Mkuu mbona unaongea kama unakata roho?
R.I.P.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom