Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mashabiki wa Arsenal wamesusa leo kwenda uwanjani
3045462_heroa.jpg
79336d175d1468bff6f10a7c3fb8f19d.jpg

Hawamtaki Mr.Bean Wengewenge
...................
 
Mshikamano wenu unatisha, huu uzi hauna jambo mahususi la kujadili lakini umekuwa na mvuto wa aina yake, hii ilinipelekea kuufananisha na ididingo the need, wengine wanaingia na wengine wanatoka, usiku na mchana hukosi mtu hapa.
Nawatakia majadiliano mema na ya amani na zaidi ya yote hitimisho lake liwe au yawe niambo yenye tija katika maisha yetu ya kila siku .
Mungu awalinde, awape ushirikiano na upendo wa dhati miongoni mwenu
Amen
Wenu
Jeimbiliuo
Km daladala baba'ke

.............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom