WAFILIPI 4
4 Furahini katika BWANA tena nasema furahini.
5 Upole wenu na ujulikane na watu wote.
6 Msijisumbue kwa neno lolote, bali katika kila neno kwa KUSALI na KUOMBA na KUSHUKURU,HAJA ZENU na zijulikane na MUNGU
7 Na AMANI ya MUNGU ,ipitayo AKILI ZOTE ,ITAWAHIFADHI MIOYO YENU NA NIA ZENU katika KRISTO YESU
MUNGU AWABARIKI MLALE SALAMA