Makapuku Forum

9/African Drought Huu ukame ulitokea barani Afrika kati ya mwaka 1981 hadi 1984
Mito na maziwa yalikauka na hivyo mifugo na wanyamapori kufa kwa mamilioni
Watu milioni 1 na ushee walipoteza maisha
......_
Mungu aingilie kati yasitokee ni hatari sana kwa vizazi vyetu maana hata akiba ya chakula huwa hakuna,likitokea tumekwisha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…