Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,415
Nshapona. Jehova Rapha ndiye daktari mkuu. Maumivu hakuna japo nikinywa maji ya baridi nasikia mzizimo. Nakwenda kwa dentist Jumanne. Asante kwa kujali Mtumishi Mwema!Unaendeleaje lakini?pole Ubarikiwe
Salama tu kamandaHabr yako mkuu
Pole yakeAseno ashapigwa tatuuuuu
Bei anazijua mama mchungaji mkuuMkuu naomba kujua bei ya kuvusha roli hapo daraja la kigamboni
Itapendeza sanaNgoja nitamuomba Obe aniwekee huo wimbo leo natamani kuusikia
Mtumishi. Majaribio ya aina hii ni unethical kwa sababu implications zake ni hatari mno. Cross-breeding, DNA crossing/splicing na uhamishaji huu wa seli za ubongo hautakiwi kuachiwa tu ufanyike kiholela. Kuna siku atatokea rogue scientist huko North Korea achanganye DNA ya simba na binadamu kwenye lab ili kuzalisha wanajeshi wasioogopa halafu atuletee matatizo. Kama binadamu hatupaswi kuingilia uumbaji wa Mungu na kuanza kuhamisha DNA hovyo hovyo lakini huko ndiko tunakoelekea kwa sababu tiba za magonjwa mengi inaonekana zimejificha katika DNA na kwa kadri siku zinavyokwenda wanasayansi wanadai itafikia mahali wataweza kuzalisha binadamu asiyeugua wala kuzeeka.
Kama leo tunaweka brain cells za binadamu kwenye ubongo wa panya, vipi tukiweka kwenye ubongo wa simba au tiger? Tunacheza na moto!
SawaWakati wa kwenda itakuwa kuwa tupu hapo huwa inasoma tani 17
Sawa mkuu BlessedHopeHahahaha hata siendi kwa watu labda kuwe na matatizo
AsanteGari ndogo ndogo ni sh 1500
Gari kubwa kama Prado ni 2000
Eicher ni 7000
Sem ni 25,000
Cc Mama mchungaji
Cc Mndali
Hili bado ni fumbo kubwa. Wanasema kuwa siku tukiweza kusoma kila code na kuelewa kila kitu kilichomo basi si ajabu tutaweza kufumbua mafumbo yote ya maisha yetu - tumetoka wapi? Kwa nini tuko hapa? Kwa nini tunazeeka? Kwa nini huwa tunaugua? Twaweza kuishi milele? The possibilities are endless! Wanasema siri zote - ikiwemo kama kuna ndugu zetu wengine huko katika sayari na malimwengu (universes) mengine pengine zimefichwa katika DNA zetu. Ndiyo maana Genetics bado ni mojawapo ya nyanja za sayansi zinazosisimua sana tangu mlango ufunguliwe na mtawa Gregory Mendel zaidi ya miaka 120 iliyopita.Hatari sana, wataalamu wa DNA wanasema sisi binadamu tunatumia 4%tu ya DNA zetu, je 96% ziko wapi na zinatumikaje?
Ila mabus siku hz ni elf tano nasikia badala ya elf sabaGari ndogo ndogo ni sh 1500
Gari kubwa kama Prado ni 2000
Eicher ni 7000
Sem ni 25,000
Cc Mama mchungaji
Cc Mndali
Ina maana zile daladala za eicher zinalipa Sh 7000 per trip au zina discount?Gari ndogo ndogo ni sh 1500
Gari kubwa kama Prado ni 2000
Eicher ni 7000
Sem ni 25,000
Cc Mama mchungaji
Cc Mndali
Inawezekana ninayo muda mrefuHii simu yako ni ngumu sana maana naona nyingine zimekuja zimepotea ila Hiyo ipo
Mungu akutangulie katika matibabu yako uwe mzima mwili na rohoNshapona. Jehova Rapha ndiye daktari mkuu. Maumivu hakuna japo nikinywa maji ya baridi nasikia mzizimo. Nakwenda kwa dentist Jumanne. Asante kwa kujali Mtumishi Mwema!
Ukimwona naomba mwambie aniwekeeItapendeza sana
Mmmh huyu nyati ,ng'ombe
Upuuzi wa Wanasayansi
.......
Muda wake badoUkimwona naomba mwambie aniwekee
Ni nzuri tho...Hahahahaha mweh mmh ya kawaida tu ila inanifanya niwe nanyi