Makapuku Forum

Yes nadhani panya wana uwezo mkubwa,nimewahi ona panya wanatumika kunusa specimen ii kupima TB ,na ikipimwa kwa madawa inakuwa positive kama panya aivyokuta,asilimia kubwa,na pia panya walifunzwa kutegua mabomu ya ardhini nimewahi ona wakiwa mafunzoni,very interesting,nadhani wakipewa brain cells za binadamu watafanya mengi zaidi,.
 
Nimefurahia sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…