Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kenya premier League
8a5901634bdf050d8f517ff7e817c482.jpg
 
Wakuu natanguliza salaam ....

Nimewamis mpaka bhasiii Ila sikuwa na jinsi at tyme inatupasa kulitumikia taifa kuliko linavotutumikia sisi ...nimewamis sanaaaaaaaaaaaaaaa

Nimeshindwa nianzie wapi ikabidi niskip all pages but hopefully wote mu' wazima

Kuanzia kwa shunie ....(special greatingz) ...to all kapuku wote

Mama mtumishiii ....nimekumis
Balozi Bitoz ....kinomanomaa
Mukongo....nothing to say
Mndali ....loooooh
Shululu...au ushakimbiaa
Mr &Mrs T....my God
Dikteta ...moment zako nikitoka asbh unatinga...
Mondray...na Ray..
Nyagei katibuuuuuuuu....
Baba paroko ...sijui nisemejeee
Valentinaa....nimekumisimoo

Bhinamuu obee ....na nyuziiiiiii

Mkuu tetra ...upooo

Snipes aka kidukuuu...
Msukuma wa koromije..S B ntapewa ripotiii
Na makapuku wote majina ni mengi na nawakumbuka na kuwapenda woteee...najua wageni wapo kibao ila wikend hii tunalamba sahani mojaaa....

Msamaha wenu ....nisamehe nilishindwa kutoa taarifa rasmi kuwa ntawamisisha segment ya mapema magazeti na uf...nisameheni Ila Mimi mzima


Shunie mama sara zako zinaniongozaaaaaaa


....
Shedeeeeedeeee naamini kazi umeifanya haswaaa...ntaomba ropotiiiii
nilikumiss sana kivuruge wangu nilimmiss kila kitu chako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom