Mama mchuchu nashukuru sanaaaaaa kwa upendo wenu nimekutaa pm imejaaa kweli love ya kutoshaaa ...nimemisi baraka zako za mapema ila kwa hizi siku 2 ntazipata na matumaini ulikuwa hunisahau kwenye maombi yakooTumekumis sana Lee karibu sana naamini Mungu alikufanyia wepesi katika kila jambo.
Tumekuwa tunakuombea,tunamshukuru sana Mungu umerudi salama ,karibu kaa nasi
Natamani Joshua ASHINDE ataleta mapinduzi kwenye huo uzani.
Live TV1
SAA 2 USIKU
Msikose
................
Leee mushengaaaaa nakuonaaaaaNatamani Joshua ASHINDE ataleta mapinduzi kwenye huo uzani.
sara-SalaWakuu natanguliza salaam ....
Nimewamis mpaka bhasiii Ila sikuwa na jinsi at tyme inatupasa kulitumikia taifa kuliko linavotutumikia sisi ...nimewamis sanaaaaaaaaaaaaaaa
Nimeshindwa nianzie wapi ikabidi niskip all pages but hopefully wote mu' wazima
Kuanzia kwa shunie ....(special greatingz) ...to all kapuku wote
Mama mtumishiii ....nimekumis
Balozi Bitoz ....kinomanomaa
Mukongo....nothing to say
Mndali ....loooooh
Shululu...au ushakimbiaa
Mr &Mrs T....my God
Dikteta ...moment zako nikitoka asbh unatinga...
Mondray...na Ray..
Nyagei katibuuuuuuuu....
Baba paroko ...sijui nisemejeee
Valentinaa....nimekumisimoo
Bhinamuu obee ....na nyuziiiiiii
Mkuu tetra ...upooo
Snipes aka kidukuuu...
Na makapuku wote majina ni mengi na nawakumbuka na kuwapenda woteee...najua wageni wapo kibao ila wikend hii tunalamba sahani mojaaa....
Msamaha wenu ....nisamehe nilishindwa kutoa taarifa rasmi kuwa ntawamisisha segment ya mapema magazeti na uf...nisameheni Ila Mimi mzima
Shunie mama sara zako zinaniongozaaaaaaa
....
Shedeeeeedeeee naamini kazi umeifanya haswaaa...ntaomba ropotiiiii
Natamani Joshua ASHINDE ataleta mapinduzi kwenye huo uzani.
Asante sana
Nasikia DSTV hawajapewa haki na Waingereza hivyo kimataifa ni SKY SPORTSKatii ya vitu muhimu vilivyofanya nitoroke porini ni hili pambano Kali acha zile mbwembwe za pac na mw ...rekodi za hawa majamaa ni shida na kizuri ni kama ticha na mwanafunzii..miaka 41 kwa 27 duuuuuuh ...Mr iron fist ngoja tuone kama anashushwa heshima na AJ...
Bonge la ndondiiiii
Sema kweliAchilimiaaaaa zoteeeeee
Yaaa sky sports wanaoneshaaaa kumbe na home Tv1 ...wamefanya la mboleaNasikia DSTV hawajapewa haki na Waingereza hivyo kimataifa ni SKY SPORTS
Kibongobongo ndo TV1
...........
Tutasema tulikua tunacheza kibaba na mamaMmmmmmmh tukiulizwa maswaliiii
KweliSema kweli
Lakini utajibu wewe ....Tutasema tulikua tunacheza kibaba na mama
Jibu kabula sijaulizaMmmmmmmh tukiulizwa maswaliiii
Hilo ni aina gani ya swali ??Jibu kabula sijauliza
dogo kama wamemtenga hivi!
Tunakuombea daima Mungu akutunzeMama mchuchu nashukuru sanaaaaaa kwa upendo wenu nimekutaa pm imejaaa kweli love ya kutoshaaa ...nimemisi baraka zako za mapema ila kwa hizi siku 2 ntazipata na matumaini ulikuwa hunisahau kwenye maombi yakoo
Mkuu kwema ??dogo kama wamemtenga hivi!
Nami nakuonaaaaaaaaaaaLeee mushengaaaaa nakuonaaaaa