Makapuku Forum

Kweli tupendane tuombeane,kila mtu anapitia changamoto fulani tusiache kuchukuliana kwa upendo na kuvumliana.

Pole sana kwa msiba warafiki,Mungu ailazevroho yake mahali pema peponi,pole kwa ndugu jamaa na marafiki wote


Pole sana kwa maumivu ya jino ,Mungu akupe wepesi upone haraka nakuombea uponyaji katika jina la Yesu.

Ukiwa nyumbani chemsha karafuu kama punje kumi,kwa lita moja ya maji,yakiwa vuguvugu chuja uwe unasukutua itakusaidia.

Mungu akutie nguvu,uwe na siku njema
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…