Amen asante Mungu kwa upendo wako,umetulinda na kutuamsha salama tembea nasi siku yaleo bariki kazi za mikono yetu bariki tuingiapo na tutokapo,tujaze upendo,furaha ,mshikamano tuchukuliane mizigo,ponya majeraha,ponya wagonjwa,fariji wafiwa ,wajane,wahitaji tutendee sawa na mapenzi yako tunaomba na kushukuru katika jina la Yesu Amen