Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,415
Nimeshaonywa sana na QUIGLEY kuwa mabinti hawa wa Rwanda eti wana ubaguzi wa kutisha na mwanaume ukiwa siyo Mnyarwanda (Mtusi) mwenzao basi huna chako. Nyerere alikuwa hapendi ubaguzi na pengine aliona kuwa ngoma ni nzito akaamua kwenda hapo kisiwani...
ndio mkuuHuyo ni ww kumbe
Kwa wasiofahamu Rwanda na Burundi nilikuwa ni sehemu yaani mikoa ya Tanganyika
Pambano litaoneshwa muda gani? Halafu channel ipi?Mimi na mpira hatupatani kabisa. Mimi ni masumbwi na Mixed Martial Arts (MMA). Nasubiri kesho kati ya Vladimir Klitchiko na Joshua Wembley stadium. Watu 90,000 wanategemewa kuhudhuria. I wish I were in the UK. Nisingekosa!
walikua na mahusiano mpaka wakafunga ndoa
Sub ya nini ndugu? Hapa ni wewe na roho yako na ukizubaa unauliwa. Ni mojawapo ya michezo michache inayouanika unyama wa binadamu - kuwa binadamu ni mnyama tu japo amejipachika cheo cha Homo Sapiens! Ndiyo maana ameunda mpaka masilaha makali ya Nyuklia, masilaha ambayo yanaweza kuka-mute kasayari kake haka anakokategemea kasikalike tena. Sijui plan B ni nini....mkuu mi sio mfuatiliaji wa hizi mambo, ila nimeona tu ina trend sana kwenye social network, mi zangu ni football, formular one, na basketball, ila kwenye huo mchezo ambao hauna hata sub walaaa.
mkuu naomba kama hutojali nielezee kidogo hili pambano,Sub ya nini ndugu? Hapa ni wewe na roho yako na ukizubaa unauliwa. Ni mojawapo ya michezo michache inayouanika unyama wa binadamu - kuwa binadamu ni mnyama tu japo amejipachika cheo cha Homo Sapiens! Ndiyo maana ameunda mpaka masilaha makali ya Nyuklia, masilaha ambayo yanaweza kuka-mute kasayari kake haka anakokategemea kasikalike tena. Sijui plan B ni nini....
Ni mfuasi mzuri wa Immanuel Kant na falsafa yake ya Existentialism. Huwa inanipa mwanya wa kuziona mbwembwe na unafiki wa binadamu ambaye kimsingi ni mnyama tu anayesubiri kufa - japo ana mategemeo ya kuokolewa kupitia dini zake mbalimbali...
Saa nne usiku Uingereza. Kwetu saa saba usiku. Channel sijui lakini kwa vile nitakesha channel nitaijua tu!Pambano litaoneshwa muda gani? Halafu channel ipi?
NimekuonaMi mzima dadangu leo nilikuwa mpenzi msomaji
Pole mkuuInasababisha usumbufu wa kutopatikana pesa
Kuna maneno mengine huwa yanachanganya sana, wengine huwa wanasema Michael hakuwa rijali,na hii ilitokana na ajali ambayo aliipata wakati wa ujana /utoto wakeIwalikuwa na uhusiano wa kimapenzi kiasi kwamba Wacko Jacko akawa "anahonga" almasi za kufa mtu
....
Hata wale watoto inasadikika si wa MichaelIwalikuwa na uhusiano wa kimapenzi kiasi kwamba Wacko Jacko akawa "anahonga" almasi za kufa mtu
....
Umezoea kwenda na ndizi msibani
.......
kuna mtu kaniambia super sport 6.wataoneshaSaa nne usiku Uingereza. Kwetu saa saba usiku. Channel sijui lakini kwa vile nitakesha channel nitaijua tu!
HahahaaaaaaaUmezoea kwenda na ndizi msibani
.......
Saa 6 mkuuSaa nne usiku Uingereza. Kwetu saa saba usiku. Channel sijui lakini kwa vile nitakesha channel nitaijua tu!
Kumbe anakaa tandalewatoto wa tandale ndio tabia zao hizo