Makapuku Forum

Nimekusoma vyema mzee wa Bundesliga
 
Asante bvb kwa ratiba na tips za Bundesliga
 
Mimi na mpira hatupatani kabisa. Mimi ni masumbwi na Mixed Martial Arts (MMA). Nasubiri kesho kati ya Vladimir Klitchiko na Joshua Wembley stadium. Watu 90,000 wanategemewa kuhudhuria. I wish I were in the UK. Nisingekosa!
mkuu mi sio mfuatiliaji wa hizi mambo, ila nimeona tu ina trend sana kwenye social network, mi zangu ni football, formular one, na basketball, ila kwenye huo mchezo ambao hauna hata sub walaaa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…