Makapuku Forum

BUNDESLIGA UPDATES
Thiago Alcantara kaongeza mkataba na bayern munich hivo kukata kidomo domo cha vyombo vya habari kwamba anarudi Barcelona

Kingsley Coman kasajiriwa rasmi na Bayern munich baada ya kuwa kwa mkopo akitokea juventus. kasainu mkataba wa miaka mitatu hadi 2020.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…