hahahhhhvip injili unapiga mukongo??
make sikuile nilikushuku kwamba we ni mzee wa videmu na uchungaji wapi na wapi
nyagei alikutetea exactly kabisa kwamba hata manabii nao walikuwa na wake wengi sembuse wewe
Aiseee kumbe wanaume inakua kwenye tezi dume8/Saratani
Saratani kutokea pale seli zinaposhindwa kufanya kazi(kuf}..ikumbukwe viungo vyote kwenye mwili wa binadamu vimeumbwa kwa seli hivyo basi kila kiungo kina saratani yake
Wana wake hushambuliwa na saratani ya matiti na kizazi wakati wanaume ni tezi dume
Saratani husababishwa na sababu za kibaolojia. Uvutaji sigara n.k
Huu ndo ugonjwa uliowaua Nyerere,Balali,Sitta
Husababisha vifo 1.5 milioni kwa mwaka
......
vip injili unapiga mukongo??
make sikuile nilikushuku kwamba we ni mzee wa videmu na uchungaji wapi na wapi
nyagei alikutetea exactly kabisa kwamba hata manabii nao walikuwa na wake wengi sembuse wewe
hahaha yaah nipo hapa mkuu kwema lakini??Afande kwenye ubora wako
habar ya saa hii mama mchungaji ??Njema
Jitahidi Mkuu, hukusikia yule binti aliyejitosa baharini akitaka arudishwe kwa jamaa yake Mtaganyika? Muungano unayo mazuri mengi bana.
naivuta taswila ya usemi wako bora nijilinde mwenyewemlinzi hauonekani bora nijilinde mwenyewe tu hakuna namna ingine
teh teh
huonekani sasanaivuta taswila ya usemi wako bora nijilinde mwenyewe
naona hapo kunatatizo dr.lee anaakili sana angeweza angekwambia ujilinde mwenyewe
yeye kama doctor alijua kabisa vishawishi ni vingi sana ndo mana kaniambia nikulinde mimi na kwanini hakumwambia nyagei,mondray
hivo alijua iyo kazi haiwezi nishinda worryout shemela
kwenye tezi dume niwapi shemelaAiseee kumbe wanaume inakua kwenye tezi dume
mmmh ugongwa hatar naskia pia haunatofauti sana na ukimwi9/Kifua KikuuHuu ugonjwa huenezwa na bacteria kwa njia ya hewa...huathiri zaidi mapafu lakini pia huweza kuenea hadi ktk vuingo zingine
Mgonjwa hupoteza uzito kwa kiwango kikubwa
Husababisha vifo 1.4 Milioni kwa mwaka
......
kwenye tezi dume niwapi shemela
JK aliwahi hospitali akafanyiwa upasuaji akaponaAiseee kumbe wanaume inakua kwenye tezi dume
teh teh
jibu swaliiiii hivi injili imeishia wapi ulikua una mistari ya neno
kutokuoneka shem kusikupe shida nisipooneka means nikija online nitafatilia kwa umakinihuonekani sasa
me ata sijui ni wapi mejisemea tu nitamuuliza lee vizuri