Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,666
- 50,971
Thank you for NOTICING this NOTE , am glad you ave NOTED somethingNoted
Thank you for NOTICING this NOTE , am glad you ave NOTED somethingNoted
Mlokole alikuwa vizuri sanaNamkubali sana huyu ndugu, na kwa kuwa ni mlokole basi ananifanya nizidi kumkubali
Laki moja na kitu, wakati sembe tu inatushinda kununua huku kwetu.![]()
![]()
![]()
Ya Chibu nasikia yana harufu ya Madame
...
Mwanadamu wa mwisho kushinda Ballon D'or kabla ya mbeleko za Fifa kuanza kuwabeba Messi na Ronaldo.![]()
ni mlokole wa kutupwa![]()
Nakumbuka goli alilotufunga Old Trafford kwa kuwagonganisha akina Ferdinand
Ac Milan ikaitoa Man Utd UEFA
.....
Mourinho hajawahi kumkubali hata kidogo.Beki mmoja anayenyumbulika vizuri sio kwa club tu ata national team ..ila napenda akiwa anacheza namba 6
Na sasa ameenda kuvuna pesa zake za mwisho mwisho China.![]()
Kipindi cha Mourinho amekula pesa za bure alikuwa anafanya kazi dk 5 tu za mwisho kwenda kupaki basi uwanjani![]()
....
Ni kama ambavyo Fabio Coentrao anavyokula pesa ya bure Madrid na kila Dirisha la usajili likifika wala hajali.Kasaidiaa sana Chelsea
Nilikuwa najiuliza mganga wake alimpata wapi make zile transfer window zilikuwa hazimsumbui
Sasa hivi kila anapoenda anaharibu tu. Gundu la Man Utd bado linamwandama.![]()
ndo aliyetuletea Fellaini![]()
....
Pamoja, mimi mwenyewe leo ratiba yangu iko tight thats why nikawahi mapema sana.Leo umewahi
Km ulijua vile nitabanwa kuanzia muda huu naelekea kwenye kashughuli
Tukutane jioni
..............
Teh teh teh Bible reference inasaidia watu kusadiki unacho kizungumza hahahaahah shukrani mkuu,jinsi unavyotoa izo reference za kwenye bible makapuku awakosei kukuita baba paroko
Kaka ni mchezaji mmoja mpole sana,Mlokole alikuwa vizuri sana
Mko vizuri kimpira wakuuSasa hivi kila anapoenda anaharibu tu. Gundu la Man Utd bado linamwandama.
Pambana mkuu lkn usiwe kimya sana ili tujue usalama wako usijetekwa tukachelewa kuripotiPamoja, mimi mwenyewe leo ratiba yangu iko tight thats why nikawahi mapema sana.
Kweli kabisaNi kama ambavyo Fabio Coentrao anavyokula pesa ya bure Madrid na kila Dirisha la usajili likifika wala hajali.
Ila wanasema urafiki wake na Ronaldo ndio unamfanya mabosi wa Madrid wasimuuze.
Mkuu kwemaaajinsi unavyotoa izo reference za kwenye bible makapuku awakosei kukuita baba paroko
Sana aiseeKaka ni mchezaji mmoja mpole sana,
Good musicMorning ladies! Are you ready?
Niajeee jembeeSana aisee