7/Nigeria
Hawa matapeli maarufu wa Afrika Magharibi ndo vinara kwa Bara la Afrika wako takribani Milioni mia moja tisini na moja na laki name{191,800,000)
Hawa jamaa ni wapambanaji kimaisha idadi yao wanazamia huko Ulaya na wanetapakaa pia sehemu nyingi duniani
....
6/Pakistan
Huku ndo sehemu ambao Osama Bin Laden aliuawa na Wamarekani . licha ya kutawaliwa na vurugu na Mauaji lakini jamaa hawapungui tu
Wapo takribani Milioni mia moja tisini na sita na laki saba{191,700,000)
....