Makapuku Forum

1997 - Makachero wa FBI waanza upya upelelezi wa kifo cha Mtoto Jon Benet Ramsey.

JonBenet Ramsey aliuwawa mwaka 1996 akiwa na miaka 6 tu katika mazingira yenye utata mkubwa akiwa nyumbani kwao na mpaka leo muuaji wake hajajulikana na kesi yake bado ipo wazi.

Kabla ya kifo chake mtoto JonBenet Ramsey alikuwa ni mshindi katika shindano la Mamiss watoto.
 
Ninachoshauri story ziendelee tu Ila kuhusu vipindi, magazeti, unbelievable fact, leo katika historia pamoja na picha, ratiba na matokeo viwanjani, Je wajua, (Mondray & Bitoz) Good music pamoja na sala ya asubuhi na jioni tuvipatie muda tu na umuhimu wake.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…