AsanteHabarini za asubuhi Makapuku
Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nilishindwa kuwaleteeni matokeo ya mechi zilizochezwa jana za Europa league.
Leo tutaziangalia mechi za ligi zikiendelea kurindima
Leo Katika Historia:
1890 - Benjamin Franklin anazikwa mara baada ya kufariki siku kadhaa nyuma.
Ni mmoka kati ya waanzilishi wa Taifa la Marekani na sura yake hutumika katika Dola za nchi hiyo hasa dola 100.
Maskini Samatta ataisikia Europa semi final kwenye bombsTupate ratiba ya mechi za leo tarehe 21/4/2017
Belgium playoffs Eufa
France league 1
Germany Bundesliga
Kenya premier League
Netherlands EREDIVISIE
Spain LaLiga
Uganda Premier League
Marhaba shem uhali ganiNyagei shikamoo
Tutamuona tena next season ya EuropaMaskini Samatta ataisikia Europa semi final kwenye bombs
......
Jana nani kapewa point?Shukrani mkuu kwa magazeti
Simbwa Fc wazee wa mbeleko
....
Leo Katika Historia:
1890 - Benjamin Franklin anazikwa mara baada ya kufariki siku kadhaa nyuma.
Ni mmoka kati ya waanzilishi wa Taifa la Marekani na sura yake hutumika katika Dola za nchi hiyo hasa dola 100.
Tuko poahabari za asubuhi wakubwa
mmeamkaje??
Ninachoshauri story ziendelee tu Ila kuhusu vipindi, magazeti, unbelievable fact, leo katika historia pamoja na picha, ratiba na matokeo viwanjani, Je wajua, (Mondray & Bitoz) Good music pamoja na sala ya asubuhi na jioni tuvipatie muda tu na umuhimu wake.Za asubuhi waungwana
Nafikiri km wiki mbili zilizopita "tulikubaliana" kuirudisha hadhi ya thread kwa kuipendezesha kwa kuleta vipindi vinavyovurua....wapo walioonyesha msisitizo kwa kuleta vitu vizuri km One yy kuanzisha cha muziki. Lee jaanzisha facts, Transcend kuanzisha nukuu Mimi pia nimejaribu kuleta Top Ten na Mambo usiyoyajua muda wa Joni/ usiku bila kumsahau Nyagei na update zake
Lakini cha kushanfaza mwitikio ni mdogo watu tumejisahau tunapiga tu stori za mapenzi asubuhi hadi usiku bila much OK a na mtu akileta kipindi anapuuzwa tu na mtu anaamua kuquote kwa masihara tu
Humu yupo watu wa aina zote au taaluma meal in bal i tujitahidi kuelimishana, pamoja na kufahamishana mambo mbalimbali yenye faida na tuwe tunapiga stori pia
Kumbukeni too much is harmful matokeo yake thread inadharaurika na kuonekana tu km ya watoto wa Primary
Nakaribisha maoni ya kujenga kukosolewa maana thread ni yetu sote na usitoshe wengine hupgopa jutoa maoni kwa kuepuka kuonekana wana midomo
Turekebishane kwa upendo
Karibuni
.....
Binamu shikamoo hivi Adolph mbinga anapiga gitaa gan na shakashia sijui shakazulu
Ooooooh swty niko poa nimeamka swalama ofu juu yako tu ..mornie my love umeamkaje lkn
pole na uchovu wa jana me nimekuhamu tuuu
halaf leo baby nina upako wa kutoa shikamoo humu kapuku sijui wataitikia
Shukrani mkuuLEO KATIKA HISTORIA:
Niwatakie siku njema.
Tuko pamojaaHabarini za asubuhi Makapuku
Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu nilishindwa kuwaleteeni matokeo ya mechi zilizochezwa jana za Europa league.
Leo tutaziangalia mechi za ligi zikiendelea kurindima