Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,294
Cool sanaGud sana kapuku Kwema???
Sorry hivi ke/me
Nafanya sensa humu makapuku
Cool sanaGud sana kapuku Kwema???
HeloooHello my sisy
Yaah afu ni wajuzi wakuteka fealingz za wanaume![]()
![]()
![]()
jufa utachelewa ila usimfanye mwanamke kuwa kila kitu kwako hapo atakuwa amechukua uhuru wako wote!!!

Kwahiyo mnatusema halaf shedede kazi imeishia hapa nitajilinda mwenyewe na baby wangu nitamlinda mwenyeweYaah afu ni wajuzi wakuteka fealingz za wanaume![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
jufa utachelewa ila usimfanye mwanamke kuwa kila kitu kwako hapo atakuwa amechukua uhuru wako wote!!!
Tunapishana mamiiHelooo
Nalala muwe na sweet dreamz woteKwahiyo mnatusema halaf shedede kazi imeishia hapa nitajilinda mwenyewe na baby wangu nitamlinda mwenyewe
ndio najiandaa kulala nilikuja kumuangalia baby kama anazurula mana nilishaagana nae mda sanaHahahah...
Shem kumbe bado hujalala
na kwako pia kakaNalala muwe na sweet dreamz wote
Yaah afu ni wajuzi wakuteka fealingz za wanaume![]()
![]()
![]()
I need freedom let be free.... Nataka niende huku na kule maswali ya ulikuwa wapi siyatakiMimi ni mrengo wa katiCool sana
Sorry hivi ke/me
Nafanya sensa humu makapuku
Sidhani kama kuna mtu anasemwe huu ni mtazamo huru.....Kwahiyo mnatusema halaf shedede kazi imeishia hapa nitajilinda mwenyewe na baby wangu nitamlinda mwenyewe
Nawe piaNalala muwe na sweet dreamz wote
Mathayo 7
7 Ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtaona;bisheni nanyi mtafunguliwa.
8 Kwa maana kila aombaye hupokea ,naye atafutaye huona,naye abishaye atafunguliwa
Asante Baba kwa ulinzi wako mchana kutwa ,tusamehe pale ambapo tulienda kinyume na mapenzi yako,tunajikabidhi mikononi mwako tunaomba malaika waweke vituo kwa kila mmoja wetu Damu ya Yesu ikatufunike Amen
Usiku mwema wapendwa.
Wapumzike kwa amaniMakaburini
......
usiku mwema beibApia
usiku mwema roho yangu na lee tu-nakupendaga wewendio najiandaa kulala nilikuja kumuangalia baby kama anazurula mana nilishaagana nae mda sana