Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mathayo 7

7 Ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtaona;bisheni nanyi mtafunguliwa.

8 Kwa maana kila aombaye hupokea ,naye atafutaye huona,naye abishaye atafunguliwa

Asante Baba kwa ulinzi wako mchana kutwa ,tusamehe pale ambapo tulienda kinyume na mapenzi yako,tunajikabidhi mikononi mwako tunaomba malaika waweke vituo kwa kila mmoja wetu Damu ya Yesu ikatufunike Amen

Usiku mwema wapendwa.
 
Mathayo 7

7 Ombeni nanyi mtapewa,tafuteni nanyi mtaona;bisheni nanyi mtafunguliwa.

8 Kwa maana kila aombaye hupokea ,naye atafutaye huona,naye abishaye atafunguliwa

Asante Baba kwa ulinzi wako mchana kutwa ,tusamehe pale ambapo tulienda kinyume na mapenzi yako,tunajikabidhi mikononi mwako tunaomba malaika waweke vituo kwa kila mmoja wetu Damu ya Yesu ikatufunike Amen

Usiku mwema wapendwa.


Asante kwa sala, usiku mwema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom