Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Also me I canKapukuz muwe na usiku mwema...
It was a very good day with you. Mungu akipenda kesho tena
only God can judge me
Just becouse ilovu your.
Also me I canKapukuz muwe na usiku mwema...
It was a very good day with you. Mungu akipenda kesho tena
only God can judge me
Poa tu mkuu... Umepotea sanaMambo vipi
No i don't wanna judge uSamingiii
only God can judge me
kweli huku raha sana huku hata ka Emoji kanagongwa like haaaa,haaaa kule kwenye Siasa huwa wanavunga wako deep kumbe wengi pumba tuUnataka ugongwe likes ngapi? , sisi sio wachoyo wa likes kama jukwaa la siasa eti mtu mpaka uongee point ndiyo unagongwa like, huku ukisema hata SiTAKI tu basi likes zakuminina
Mmmh kumbe ndo slogan yako pw usiku mwemaKapukuz muwe na usiku mwema...
It was a very good day with you. Mungu akipenda kesho tena
only God can judge me
Hapana we ndo umepotea mkuuPoa tu mkuu... Umepotea sana
OkGD9T kapukuz
Nimeamua tu..
Si vizr watu wote tukafanaa nimeona nijitofautishe hasa ni kilenga uhuru!!Kwann umewaza ivo![]()
![]()
Mbona mapema ivo mamy unalalaMlale salama jamani
Hongera Mungu akipenda kesho ila kama hujafa Tutaku judge tuKapukuz muwe na usiku mwema...
It was a very good day with you. Mungu akipenda kesho tena
only God can judge me
Pia na wewe kuwa na usiku mbasharaKapukuz muwe na usiku mwema...
It was a very good day with you. Mungu akipenda kesho tena
only God can judge me
Vizur ndugu soonest namimi nakuja huko hukoSi vizr watu wote tukafanaa nimeona nijitofautishe hasa ni kilenga uhuru!!

Swahiba mambo vipHongera Mungu akipenda kesho ila kama hujafa Tutaku judge tu
Hapana we ndo umepotea mkuu
Mi nipo mbona
kupotea kwangu kumenifanya nihisi we ndo umepoteaVizur ndugu soonest namimi nakuja huko huko
Some times its better to stay alone
Sie bado wabichi tusijekufa kwa presha
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
jufa utachelewa ila usimfanye mwanamke kuwa kila kitu kwako hapo atakuwa amechukua uhuru wako wote!!!Gud sana kapuku Kwema???Swahiba mambo vip
AmenMilele amina mtumishi wa Mungu, tupambane kuombea hili jukwaa ili Mungu ashushe Neema zake, bwana Yesu asifiwe sana
AsanteLeo nawaletea TOP TEN ya nchi maskini zaidi duniani
Kigezo ni Gross Domestic Product(GDP) kwa Kizaramo ni Pato la Taifa
List ni kwa mujibu wa GDP ya mwaka 2013
Karibuni
.......