Unaelekeza vizuri lakini hua inajenga picha mbaya kwa muelekezwaji labda ni mm tu ndio naona..Mbona nimeelewesha vizuri tu
Labda tunatofautiana tu uelewa
Haina kwere
........
Endelea kubaki mdogo, habari ya kwako sheheaise mimi bado mdogo mambo mengi sijayajua
Karibu sana
Mhuuuu mm sina sifa ya kutafutwa na mrembo kama huyo..Ray unatafutwa na valentina
Yamekuwa hayo mkuu?Unaelekeza vizuri lakini hua inajenga picha mbaya kwa muelekezwaji labda ni mm tu ndio naona..
Hebu fuatilia Faizafox anavyo elekeza watu kwa kuwakebehi..
Niko makini mkuuCheza mbali na Werrason
.....
usiniambieMkuu ebhu gonga 5 aka faiiivuuu
Haya majamaa weka mbali na mademu wetu unawakuta saloon smart as starter ...wezi watupu
Kweli kabisaaa
Una pesa??? Yeye valentina anataka njemba zenye pesa, mimi nilikupigia pande toka huko page ya nyuma akawa anakuulizia hilo ndiyo tatizo la ku-skip pagesMhuuuu mm sina sifa ya kutafutwa na mrembo kama huyo..
Hua ananipigia kimya..
na asione kabsa
AhaaaaahNipo kaka..
Huyu baba paroko analeta ngonjera zake apa
hahahhahah kwan ww hauna pesaUna pesa??? Yeye valentina anataka njemba zenye pesa, mimi nilikupigia pande toka huko page ya nyuma akawa anakuulizia hilo ndiyo tatizo la ku-skip pages
Mimi sina pesa nina sadakahahahhahah kwan ww hauna pesa
Omba yasimkute ndugu yakousiniambie
baba paroko sadaka pia si unaweza kula nae mbona muoga hivyoMimi sina pesa nina sadaka
acha tu niyasikie kwa watu halaf nasikia wapo radhi walale chini nje wakitoka wawe smart na kunukiaOmba yasimkute ndugu yako