Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wewe ndo kivuruge baba paroko
4079e88ae06eb205ca1b5e9f8e4f2341.jpg
 
2/Zimbabwe
4b12af38275c4cac3e9f2ce4422f1408.jpg
Akina Thabami Kamusoko na Donald Ngoma wapo nafasi ya pili.Pato la Taifa la Zimbabwe ni USD 590
chanzo kikuu cha kuporomoka kwao ni vikwazo alivyowekewa Komredi Mugabe na nchi za Magharibi pia ushiriki wake kwenye Vita vya Congo DR
Siku za karibuni waneanza kurudi kwenye Barter Trade Unaweza kulipa ada ya shule kwa kukabidhi tu mbuzi wako
....
 
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
32e49f8b41a14f30b49661053de35e31.jpg

Hawa akina Papaa ndo vinara wa umaskini duniani kipato chao ni USD 395 japo hupenda kujionesha kwa mapigo ya pamba ni matapeli tu
Mji mkuu wa Kinshasa una watu takribani Milioni 10...chanzo kikuu cha umaskini wao ni vita na migogoro ya kisiasa isiyoisha

Mwisho
............
 
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
32e49f8b41a14f30b49661053de35e31.jpg

Hawa akina Papaa ndo vinara wa umaskini duniani pato lao ni USD 395 japo hupenda kujionesha kwa mapigo ya pamba ni matapeli tu
Mji mkuu wa Kinshasa una watu takribani Milioni 10...chanzo kikuu cha umaskini wao ni vita na migogoro ya kisiasa isiyoisha

Mwisho
............
Ndo maana wengi wana saloon manzese
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom