Makapuku Forum

Makapuku Forum

Burundi
f3fc25d939b20662acece31481955462.jpg

Hawa jirani ni maskini jamani..usijiulize kwanini wanazamia Kigoma
Pato lao ni USD 684...Wana hali mbaya kielimu. miundominu na afya
Wanasumbuliwa na vita visivyoisha .Mauaji ya Rais wao pamoja na wa Rwanda wakitokea Dar wakiwa kwenye ndege moja ndo chanzo cha Mauaji ya Kimbari huko Rwanda 1994
87% wanaishi vijijini huko yaani waporipori km Ngedere
......
Uchumi wao unategemea nini kule?
 
2/Zimbabwe
4b12af38275c4cac3e9f2ce4422f1408.jpg
Akina Thabami Kamusoko na Donald Ngoma wapo nafasi ya pili. Kipato chao WaZimbabwe ni USD 590
chanzo kikuu cha kuporomoka kwao ni vikwazo alivyowekewa Komredi Mugabe na nchi za Magharibi pia ushiriki wake kwenye Vita vya Congo DR
Siku za karibuni waneanza kurudi kwenye Barter Trade Unaweza kulipa ada ya shule kwa kukabidhi tu mbuzi wako
....
 
Burundi
f3fc25d939b20662acece31481955462.jpg

Hawa jirani ni maskini jamani..usijiulize kwanini wanazamia Kigoma
Pato lao ni USD 684...Wana hali mbaya kielimu. miundominu na afya
Wanasumbuliwa na vita visivyoisha .Mauaji ya Rais wao pamoja na wa Rwanda wakitokea Dar wakiwa kwenye ndege moja ndo chanzo cha Mauaji ya Kimbari huko Rwanda 1994
87% wanaishi vijijini huko yaani waporipori km Ngedere
......
Sijuwi umekula maharage gani
 
  • Thanks
Reactions: Lee
2/Zimbabwe
4b12af38275c4cac3e9f2ce4422f1408.jpg
Akina Thabami Kamusoko na Donald Ngoma wapo nafasi ya pili.Pato la Taifa la Zimbabwe ni USD 590
chanzo kikuu cha kuporomoka kwao ni vikwazo alivyowekewa Komredi Mugabe na nchi za Magharibi pia ushiriki wake kwenye Vita vya Congo DR
Siku za karibuni waneanza kurudi kwenye Barter Trade Unaweza kulipa ada ya shule kwa kukabidhi tu mbuzi wako
....
Madenge on fleak
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom