Makapuku Forum

Makapuku Forum

Vipi wanatolewa mapepo?
Kwenye kanisa moja huko Ghana, hivi ndio wanavyofanya kuondoa mapepo ya ngono
0e9a66c8b5455df6a8848bef6c473142
 
Waafrika dini tumeletewa tu na meli lakini tunajifanya kumjua Mingu kuwazidi Waarabu na Wazungu
Wazungu wenyewe hawana habari na makanisa wanaona km kupoteza time tu bora kupiga kazi ila sisi haswa Walokole masaa 15 tupo church tunapiga mayowe
NB:
Sijamlenga mtu
Kila mtu na imani yake
.....
You always go overboard Madenge na hizi generalization zako. Wazungu wasio na habari na makanisa pengine huko Ulaya. Marekani utashangaa. Kila baada ya nyumba tano kuna kanisa na yote Jumapili yanajaa watu. Kitu pekee kilichonishangaza US ni kuhusu Wasabato. Nilikuwa nadhani kwa vile ndo kwa mwanzilishi wao huko watakuwa na influence kumbe hakuna and nobody takes them seriously. Lakini huku kwetu wengine hata nyama hawali na wanafikia mpaka kwenda airport bila visa wakitegemea maajabu ya Mungu...
 
You always go overboard Madenge na hizi generalization zako. Wazungu wasio na habari na makanisa pengine huko Ulaya. Marekani utashangaa. Kila baada ya nyumba tano kuna kanisa na yote Jumapili yanajaa watu. Kitu pekee kilichonishangaza US ni kuhusu Wasabato. Nilikuwa nadhani kwa vile ndo kwa mwanzilishi wao huko watakuwa na influence kumbe hakuna and nobody takes them seriously. Lakini huku kwetu wengine hata nyama hawali na wanafikia mpaka kwenda airport bila visa wakitegemea maajabu ya Mungu...
Mambo ya kiimani epuka mkanganyiko usio na maana amini lile unalo amini chief full STOP
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom