Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
wangekuwa hawarespond wangenichana, hawajanipa ujumbe wowote mpaka sasa au wewe ni mmoja wao???Kuchange id
ushawahi kuona watu wenye avatar za hawa jamaa??
Anko Magu
Trump
Mandela
Nyerere
wangekuwa hawarespond wangenichana, hawajanipa ujumbe wowote mpaka sasa au wewe ni mmoja wao???Kuchange id
nataka Mr THutaki ama?
hajawai kuwekaWanamkimbiaaa
kazi gan tena baba parokoKaribu mrembo, vipi lee kuna kazi nimempa ila anayumbayumba kidogo, nisaidie kumkumbusha
Shkamoo babymxxiuue
Kwenye kanisa moja huko Ghana, hivi ndio wanavyofanya kuondoa mapepo ya ngonoVipi wanatolewa mapepo?
kazi kweli kweliKwenye kanisa moja huko Ghana, hivi ndio wanavyofanya kuondoa mapepo ya ngono
![]()
sitakiiiiiShkamoo baby
Ndugu habari za uzimawangekuwa hawarespond wangenichana, hawajanipa ujumbe wowote mpaka sasa au wewe ni mmoja wao???
ushawahi kuona watu wenye avatar za hawa jamaa??
Anko Magu
Trump
Mandela
Nyerere
You always go overboard Madenge na hizi generalization zako. Wazungu wasio na habari na makanisa pengine huko Ulaya. Marekani utashangaa. Kila baada ya nyumba tano kuna kanisa na yote Jumapili yanajaa watu. Kitu pekee kilichonishangaza US ni kuhusu Wasabato. Nilikuwa nadhani kwa vile ndo kwa mwanzilishi wao huko watakuwa na influence kumbe hakuna and nobody takes them seriously. Lakini huku kwetu wengine hata nyama hawali na wanafikia mpaka kwenda airport bila visa wakitegemea maajabu ya Mungu...Waafrika dini tumeletewa tu na meli lakini tunajifanya kumjua Mingu kuwazidi Waarabu na Wazungu
Wazungu wenyewe hawana habari na makanisa wanaona km kupoteza time tu bora kupiga kazi ila sisi haswa Walokole masaa 15 tupo church tunapiga mayowe
NB:
Sijamlenga mtu
Kila mtu na imani yake
.....
Anajua wewe mkumbushiekazi gan tena baba paroko
Shkamoo shem _darlingsitakiiiii
Teh teh teh ehhhhhh kuna mapepo yamo kwenye private sectorKwenye kanisa moja huko Ghana, hivi ndio wanavyofanya kuondoa mapepo ya ngono
![]()

Baby nsharudì ...baby wangu popote ulipo nimekumissipo naomba tu uje nitakufwaaa ujue
shedede kazi yako ni ipi simuoni dr.lee au umepewa likizo tena
tunashukuru mungu kwa kupata siku nyingne, habari yako?Ndugu habari za uzima
KiboooookooooDah pages are numbering, ngoja tu niskip twende sawa, habari zenu makupuku mpo salama?
Mambo ya kiimani epuka mkanganyiko usio na maana amini lile unalo amini chief full STOPYou always go overboard Madenge na hizi generalization zako. Wazungu wasio na habari na makanisa pengine huko Ulaya. Marekani utashangaa. Kila baada ya nyumba tano kuna kanisa na yote Jumapili yanajaa watu. Kitu pekee kilichonishangaza US ni kuhusu Wasabato. Nilikuwa nadhani kwa vile ndo kwa mwanzilishi wao huko watakuwa na influence kumbe hakuna and nobody takes them seriously. Lakini huku kwetu wengine hata nyama hawali na wanafikia mpaka kwenda airport bila visa wakitegemea maajabu ya Mungu...
Abeeee mume wanguSakayo....!
Numbering eehDah pages are numbering, ngoja tu niskip twende sawa, habari zenu makupuku mpo salama?
Nakupendahahhaha sakayo ww