Makapuku Forum

Makapuku Forum

hapana inatakiwa mtu bana na jinsia ya ke,
maana kaugonjwa niliko nako sio kazuri

shunnie anakajua

Maana huwa kakijaga natokaga usiku peke yangu nikija stuka niko sehemu ambayo wanapatikana jinsia ya Ke
mm ata sijui huo ugonjwa kwakweli ugonjwa wa dege dege la ukubwani ulikataa kutufafanulia
 
Msalimie pia. Mwambie Wanyarwanda wanamsalimia
df08dd9342435d0ee6a5d683360f0c6a.jpg
Huyu sio mnyarwandaa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom