Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Usijali kuu hii ilikuwa chai ya asubuhiNakushangaa
Usijali kuu hii ilikuwa chai ya asubuhiNakushangaa
UpakoAnataka kunipaka mafuta
sitaki ata kukumbuka ujue hivi nilikua nakupigia kwa siku mara ngapHahaha
OooooooohMafuta ya upako jamani
usiniambieNavojua hakuna mbabe kwa mwanamke
Kwakweli aniombee tu na lee wanguMaombi ni muhimu
Kukanyaga mafutalate night tena ni maombi hayo
Haahahahhaahha kumbeee huyu ndiyo mpiga vita wangu anataka kanisa langu lianguke, kwanini anakukataza usije kqwnye ibada, ngoja kuna jambo nitaliweka sawababa paroko bora umekuja huyo anaeitwa lee empire ni hubby wangu hatak kunisamehe jamaan
mafuta ya barakaWeee si waliyakatazaaa??
Au ya magendoo
sasa mbona huniiti baby ni mwendo wa shunie tuuuJamniiii jamaaaniii si yameisha Jana jioniii
Kongoro mhmhhh basi utakua unatumika sana mpaka joint za kwenye goti cartilage zimekwisha still you under 18 tutakupoteza wakati taifa linajengwa nguvu kazi vijana kama wewe

Mkuu sio kutumika mi mkulima kwa hiyo huwa nikija mjini napenda kupata supu ya kongoro kidogo inanifanya nikirudi shambani niwe na nguvu zaidiKongoro mhmhhh basi utakua unatumika sana mpaka joint za kwenye goti cartilage zimekwisha still you under 18 tutakupoteza wakati taifa linajengwa nguvu kazi vijana kama wewe
sijaamini ujue kama lee ndio kaandika nilisoma mara mbiliNimelipenda hilo jibu
HahahaKongoro mhmhhh basi utakua unatumika sana mpaka joint za kwenye goti cartilage zimekwisha still you under 18 tutakupoteza wakati taifa linajengwa nguvu kazi vijana kama wewe
Yaaaniii wewèeee kiboooooookooooPastor katika ubora![]()
![]()
![]()
Muulize babu Asprin huyu ni mkongwe alianza kwangu sahivi nasikia kahamia kwa babu Asprin sijui anapewa vitu ganiEtii na wewe unaendaga
Hivi nimesemajeeeusiniambie
Chai gani hiyoUsijali kuu hii ilikuwa chai ya asubuhi
AmenUpako